Proverbs 29:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Apendaye hekima humfurahisha baba yake; lakini aandamanaye na malaya hufuja mali yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Apendaye hekima humfurahisha baba yake; lakini aandamanaye na malaya hufuja mali yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na kahaba hutapanya mali yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Apendaye hekima humfurahisha baba yake; lakini aandamanaye na malaya hufuja mali yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu apendaye werevu wa kweli humfurahisha baba yake, lakini mtu akiwa mwenzao wanawake wagoni huzipoteza mali.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayependa hekima anamufurahisha baba yake; lakini anayeandamana na kahaba anapoteza mali yake.