Proverbs 29:4 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme akitumia haki huipatia nchi uthabiti, lakini akipenda hongo taifa huangamia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme akitumia haki huipatia nchi uthabiti, lakini akipenda hongo taifa huangamia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme akitumia haki huipatia nchi uthabiti, lakini akipenda hongo taifa huangamia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme huishikiza nchi yake kwa kupiga mashauri yaliyo sawa, lakini aitozaye kodi nyingi huiangamiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mfalme huithibitisha nchi kwa hukumu; Bali yeye apokeaye rushwa huipindua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme akifuata sheria ya Mungu, anaimarisha inchi. Lakini akipenda kituliro, taifa linaangamia.