Proverbs 29:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwovu hutegwa na dhambi yake mwenyewe, bali mwenye haki hushangilia na kufurahi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu mbaya hunaswa kwa kosa lake, lakini mtu mwadilifu huimba na kufurahi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mbaya hujitegea mwenyewe kwa upotovu wake, lakini mwongofu hupiga shangwe kwa kufurahi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu mubaya ananaswa kwa kosa lake, lakini mutu wa haki anaimba na kufurahi.