Proverbs 29:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwadilifu anajua haki za maskini, lakini mtu mwovu hajui mambo hayo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwadilifu anajua haki za maskini, lakini mtu mwovu hajui mambo hayo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwadilifu anajua haki za maskini, lakini mtu mwovu hajui mambo hayo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwongofu huyajua mashauri ya wanyonge, lakini asiyemcha Mungu hautambui huo ujuzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye haki anajua haki za wamasikini, lakini mutu mwovu hajui mambo hayo.