Proverbs 29:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenye hekima akibishana na mpumbavu, mpumbavu huwaka hasira na kucheka bila kutulia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenye hekima akibishana na mpumbavu, mpumbavu huwaka hasira na kucheka bila kutulia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenye hekima akibishana na mpumbavu, mpumbavu huwaka hasira na kucheka bila kutulia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu mwerevu wa kweli akishindana na mjinga, huyu hukasirika, tena hucheka, mambo yasipate kutulia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye hekima akibishana na mupumbafu, akasirike au acheke, ni mamoja; hatatulia.