Proverbs 3:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hekima ni bora kuliko fedha, ina faida kuliko dhahabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hekima ni bora kuliko fedha, ina faida kuliko dhahabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hekima ni bora kuliko fedha, ina faida kuliko dhahabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani kuupata ni kwema kuliko kupata fedha, nayo faida yake ni kubwa kuliko dhahabu tupu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hekima ni bora kuliko feza, ina faida kuliko zahabu.