Proverbs 3:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu ashikamanaye naye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hekima ni mti wa uhai kwa wote wampatao; wana heri wote wanaoshikamana naye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndio mti wenye uzima kwao walioushika, mwenye shangwe ni mtu anayeshikamana nao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu ashikamanaye naye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hekima ni muti wa uzima kwa wote wanaoipata; wana heri wote wanaoshikamana nayo.