Proverbs 3:35 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedheha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedheha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedheha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Werevu wa kweli watapata utukufu, uwe fungu lao, lakini matukuzo yao wapumbavu ndio matwezo yatakayowapata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbafu watapata haya.