Proverbs 30:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usimchongee mtumwa kwa bwana wake, asije akakulaani, ukaonekana una hatia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Usimchongee mtumishi kwa bwana wake, asije akakulaani, ukapatilizwa kwalo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usimchongee mtumwa kwa bwana wake; Asije akakulaani, ukaonekana una hatia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usimchongee mtumwa kwa bwana wake, asije akakulaani, ukaonekana una hatia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Usimchongee mtumishi kwa bwana wake, asije akakulaani, ukapatilizwa kwalo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Usimchongee mtumishi kwa bwana wake, asije akakulaani, ukapatilizwa kwalo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usimchongee mtumwa kwa bwana wake; Asije akakulaani, ukaonekana una hatia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usimchongee mtumwa kwa bwana wake, asije akakulaani, ukaonekana una hatia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usimsingizie mtumishi kwa bwana wake, asikuapize, ukajipatia mapatilizo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usimchongee mtumwa kwa bwana wake; Asije akakulaani, ukaonekana una hatia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usimuchongee mutumwa kwa bwana wake, kusudi asikulaani, na kuonekana kwamba uko na kosa.