Proverbs 30:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kuna wanaowalaani baba zao, wala hawawabariki mama zao;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Wako watu wale ambao huwalaani baba zao na wala hawawabariki mama zao;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Wako watu wale ambao huwalaani baba zao na wala hawawabariki mama zao;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kiko kizazi cha watu wawaapizao baba zao, wasiwabariki wamama zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuna watu ambao wanalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.