Proverbs 30:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuna watu ambao hujiona kuwa wema, kumbe bado hawajatakaswa uchafu wao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambao ni safi machoni pao wenyewe lakini hawakuoshwa uchafu wao;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao wenyewe; Ambao hawakuoshwa uchafu wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuna watu ambao hujiona kuwa wema, kumbe bado hawajatakaswa uchafu wao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wale ambao ni safi machoni pao wenyewe kumbe hawakuoshwa uchafu wao;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wale ambao ni safi machoni pao wenyewe kumbe hawakuoshwa uchafu wao;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao wenyewe; Ambao hawakuoshwa uchafu wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuna watu ambao hujiona kuwa wema, kumbe bado hawajatakaswa uchafu wao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kiko kizazi cha watu waliotakata machoni pao wenyewe, nao hawakujiosha, uchafu wao uwatoke.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna kizazi cha watu walio safi machoni pao wenyewe; Ambao hawakuoshwa uchafu wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuna watu ambao wanajiona kuwa safi, kumbe bado hawajatakaswa uchafu wao.