Proverbs 30:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwenendo wa mwanamke mwasherati ni hivi: Yeye hula, akajipangusa mdomo, na kusema, “Sijafanya kosa lolote!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi, hula akapangusa kinywa chake na kusema, ‘Sikufanya chochote kibaya.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwenendo wa mwanamke mwasherati ni hivi: yeye hula, akajipangusa mdomo, na kusema, “Sijafanya kosa lolote!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi, hula akapangusa kinywa chake na kusema, ‘Sikufanya cho chote kibaya.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi, hula akapangusa kinywa chake na kusema, ‘Sikufanya chochote kibaya.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwenendo wa mwanamke mwasherati ni hivi: Yeye hula, akajipangusa mdomo, na kusema, “Sijafanya kosa lolote!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndivyo, njia ya mwanamke mgoni ilivyo: hula, kisha hufuta kinywa chake na kusema: Sikukosa neno.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenendo wa mwanamuke mwasherati ni hivi: yeye anakula, anajipanguza mudomo, na kusema: “Sijafanya kosa lolote!”