Proverbs 30:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uniondolee uongo na udanganyifu; usinipe umaskini wala utajiri; unipatie chakula ninachohitaji,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo; usinipe umaskini wala utajiri, bali unipe chakula cha kunitosha kila siku.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uniondolee uongo na udanganyifu; usinipe umaskini wala utajiri; unipatie chakula ninachohitaji,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo; usinipe umaskini wala utajiri, bali unipe chakula cha kunitosha kila siku.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo; usinipe umaskini wala utajiri, bali unipe chakula cha kunitosha kila siku.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uniondolee uongo na udanganyifu; usinipe umaskini wala utajiri; unipatie chakula ninachohitaji,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yaliyo upuzi na maneno ya uwongo yaweke mbali yasinifikie! Usinipe kuwa mkosefu wa mali wala mwenye mali nyingi! Ila nipe tu, nile chakula changu kinipasacho!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uniondolee uongo na udanganyifu; usinipe umasikini wala utajiri; unipatie chakula ninachohitaji,