Proverbs 31:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kamwe hamtendei mumewe mabaya, bali humtendea mema maisha yake yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Humtendea mumewe mema, wala si mabaya, siku zote za maisha yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kamwe hamtendei mumewe mabaya, bali humtendea mema maisha yake yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Humtendea mumewe mema, wala si mabaya, siku zote za maisha yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Humtendea mumewe mema, wala si mabaya, siku zote za maisha yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kamwe hamtendei mumewe mabaya, bali humtendea mema maisha yake yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Humfanyizia mema tu, mabaya hayafanyi siku zote za maisha yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hamutendei mume wake mabaya hata kidogo, lakini anamutendea mazuri maisha yake yote.