Proverbs 31:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hufikiria kununua shamba, kisha hulinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huangalia shamba na kulinunua; kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hufikiria kununua shamba, kisha hulinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huangalia shamba na kulinunua, kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huangalia shamba na kulinunua, kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hufikiria kununua shamba, kisha hulinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akiviwaza moyoni kuwa vema hivyo hununua shamba, tena hupanda mizabibu kwa mapato ya mikono yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anafikiri kununua shamba, kisha analinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.