Proverbs 31:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hutambua kwamba shughuli zake zina faida; hufanya kazi hata usiku kwa mwanga wa taa yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hutambua kwamba shughuli zake zina faida; hufanya kazi hata usiku kwa mwanga wa taa yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hutambua kwamba shughuli zake zina faida; hufanya kazi hata usiku kwa mwanga wa taa yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huona, ya kuwa anafanikiwa vema kwa kujikaza hivyo, kwa hivyo hata usiku taa yake haizimiki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anatambua kwamba shuguli zake zina faida; anafanya kazi hata usiku kwa mwangaza wa taa yake.