Proverbs 31:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Husokota nyuzi kwa mikono yake mwenyewe, kwa vidole vyake mwenyewe husuka nguo zake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huweka mikono yake kwenye pia, navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Husokota nyuzi kwa mikono yake mwenyewe, kwa vidole vyake mwenyewe husuka nguo zake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huweka mikono yake kwenye pia, navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huweka mikono yake kwenye pia, navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Husokota nyuzi kwa mikono yake mwenyewe, kwa vidole vyake mwenyewe husuka nguo zake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hutengeneza kitanda cha kufumia kwa mikono yake, kisha vidole vyake huvifumisha nguo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anasokota nyuzi kwa mikono yake mwenyewe, kwa vidole vyake mwenyewe anasuka nguo zake.