Proverbs 31:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huufungua mkono wake kuwapa maskini, hunyosha mkono kuwasaidia fukara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huwanyooshea maskini mikono yake na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huufungua mkono wake kuwapa maskini, hunyosha mkono kuwasaidia fukara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huwanyoshea maskini mikono yake na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huwanyooshea maskini mikono yake na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huufungua mkono wake kuwapa maskini, hunyosha mkono kuwasaidia fukara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wanyonge huwashika kwa mkono wake, nao wakiwa huwapokea kwa mikono yake miwili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anafungua mukono wake kwa kuwapa wamasikini, ananyoosha mukono kwa kusaidia wakosefu.