Proverbs 31:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mume wake ni mtu mashuhuri barazani, anakoshiriki vikao vya wazee wa nchi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji, aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mume wake ni mtu mashuhuri barazani, anakoshiriki vikao vya wazee wa nchi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji, aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji, aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mume wake ni mtu mashuhuri barazani, anakoshiriki vikao vya wazee wa nchi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mumewe hujulika malangoni mashaurini akikaa pamoja na wazee wa nchi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mume wake ni mutu mwenye kuheshimiwa katika baraza, anapoikaa katikati ya wazee wa inchi.