Proverbs 31:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sema kwa ajili yao na kuamua kwa haki, linda haki za maskini na fukara.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sema na uamue kwa haki, tetea haki za maskini na wahitaji.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Fumbua kinywa chako, uhukumu kwa haki; Uwapatie maskini na wahitaji haki yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sema kwa ajili yao na kuamua kwa haki, linda haki za maskini na fukara.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sema na uamue kwa haki, tetea haki za maskini na wahitaji.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sema na uamue kwa haki, tetea haki za maskini na wahitaji.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Fumbua kinywa chako, uhukumu kwa haki; Uwapatie maskini na wahitaji haki yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sema kwa ajili yao na kuamua kwa haki, linda haki za maskini na fukara.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kifunue kinywa chako, ukate mashauri yaongokayo, uwapatie wanyonge na maskini shaurini yawapasayo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Fumbua kinywa chako, uhukumu kwa haki; Uwapatie maskini na wahitaji haki yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sema kwa ajili yao na kuamua kwa haki, linda haki za wamasikini na wakosefu.