Proverbs 4:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya jeuri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanakula mkate wa uovu, na kunywa mvinyo wa jeuri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana uovu ndicho chakula chao, ukatili ndiyo divai yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani vilaji, wanavyovila, ni vya kumbeza Mungu, nayo mvinyo, wanayoinywa, ni yenye makorofi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya jeuri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana uovu ndicho chakula chao, mateso makali ndiyo divai yao.