Proverbs 4:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mstahi, naye atakukweza, mkumbatie, naye atakuheshimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Uutukuze! Ndipo, nao utakapokutukuza, utakupatia macheo, ukiukumbatia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Shikamana sana na hekima, nayo itakutukuza; ukiishikilia itakupa heshima.