Proverbs 5:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye hufa kwa utovu wa nidhamu, huangamia kwa sababu ya upuuzi wake mkuu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Atakufa kwa kukosa nidhamu, akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye hufa kwa utovu wa nidhamu, huangamia kwa sababu ya upuuzi wake mkuu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Atakufa kwa kukosa nidhamu, akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Atakufa kwa kukosa nidhamu, akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye hufa kwa utovu wa nidhamu, huangamia kwa sababu ya upuuzi wake mkuu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyo atakufa, kwa kuwa hakuonyeka, kwa ujinga wake mwingi atapepesuka, aanguke.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye anakufa kwa ajili ya ukosefu wa mafundisho, anaangamia kwa sababu ya upumbafu wake mukubwa.