Proverbs 6:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanangu, kama umejitolea kumdhamini jirani yako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mtu huyo,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako, ikiwa umeshikana mikono kwa kuweka ahadi kwa ajili ya mwingine,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako, Ikiwa wewe na mgeni mmepana mikono,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanangu, kama umejitolea kumdhamini jirani yako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mtu huyo,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi kwa ajili ya mwingine,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi kwa ajili ya mwingine,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako, Ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanangu, kama umejitolea kumdhamini jirani yako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mtu huyo,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwanangu, kama umejitoa kuwa dhamana ya mwenzio, ukampa mwingine mkono wako,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako, Ikiwa wewe na mgeni mmepana mikono,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwana wangu, kama umejitolea kubeba deni ya mwenzako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mutu yule,