Proverbs 6:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hukonyeza kwa macho yake, huparapara kwa miguu yake, tena hupungia watu kwa vidole vyake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anakonyeza jicho kwa kuwakosesha wengine, anaparuza kwa miguu na kufanyia watu kitambulisho kwa vidole.