Proverbs 6:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwanangu, lilinde agizo la baba yako, wala usiyabeue maonyo ya mama yako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwana wangu, shika amri za baba yako, wala usisahau mashauri ya mama yako;