Proverbs 6:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu hawambezi sana mtu akiiba kwa sababu ya njaa;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu hawamdharau mwizi akiiba ili kukidhi njaa yake akiwa na njaa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu hawamdharau mwivi, Akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu hawambezi sana mtu akiiba kwa sababu ya njaa;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu hawamdharau mwizi kama akiiba kukidhi njaa yake wakati ana njaa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu hawamdharau mwizi kama akiiba kukidhi njaa yake wakati ana njaa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu hawamdharau mwizi, Akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu hawambezi sana mtu akiiba kwa sababu ya njaa;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu hawambezi mwizi aibiaye kujishibisha tu, kama alikuwa na njaa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu hawamdharau mwivi, Akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu hawamuzarau sana mutu akiiba kwa sababu ya njaa,