Proverbs 6:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanamume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa; huyo hujiangamiza yeye mwenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa; yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanamume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa; huyo hujiangamiza yeye mwenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa; ye yote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa; yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanamume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa; huyo hujiangamiza yeye mwenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mtu akivunja unyumba na mke wa mwingine amepotelewa na akili, maana hujiangamiza mwenyewe kwa kufanya hivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.