Proverbs 6:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
lakini hujiwekea chakula wakati wa kiangazi, hujikusanyia akiba wakati wa mavuno.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hujitengenezea pamba za siku za vuli, hulimbika vyakula penye siku za mavuno yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
lakini anajiwekea chakula wakati wa kipwa, anajikusanyia akiba wakati wa mavuno.