Proverbs 7:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Zifuate amri zangu nawe utaishi; yalinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shika amri zangu nawe utaishi; linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Zifuate amri zangu nawe utaishi; yalinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shika amri zangu nawe utaishi; linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shika amri zangu nawe utaishi; linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Zifuate amri zangu nawe utaishi; yalinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yaangalie maagizo yangu! Ndipo, utakapopata uzima; yaangalie maonyo yangu, kama unavyoangalia mboni ya jicho lako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ufuate amri zangu nawe utaishi; ulinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.