Proverbs 7:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake, akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alikuwa akishuka njiani mahali barabara inakopindia, akitembea kuelekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake, akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alitembea barabarani hapo pembeni, yule alipokaa, akaishika njia ya kutembea penye nyumba yake;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na pahali mwanamuke mumoja alipoishi. Basi akashika njia inayokwenda kwa mwanamuke yule.