Psalms 103:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo azitengavyo dhambi zetu mbali nasi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo azitengavyo dhambi zetu mbali nasi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, ndivyo azitengavyo dhambi zetu mbali nasi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kama maawioni na machweoni kunavyokaliana mbali, ndivyo, alivyoyaweka maovu yetu, yatukalie mbali.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama mashariki inavyokuwa mbali na magaribi, ndivyo anavyotenga zambi zetu mbali nasi.