Psalms 105:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Wewe nitakupa nchi ya Kanaani kama sehemu utakayoirithi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nitakupa wewe nchi ya Kanaani kuwa sehemu utakayoirithi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Kama fungu la urithi wenu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alisema: “Nitawapeni nchi ya Kanaani, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwamba: Wewe ndiwe, nitakayekupa nchi ya Kanaani, iwe fungu lenu, nililowapimia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alisema: “Nitawapa inchi ya Kanana, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”