Psalms 105:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu wa Mungu walikuwa wachache; hawakuwa maarufu, tena walikuwa wageni nchini Kanaani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walipokuwa watu wawezao kuhesabiwa, Naam, watu wachache na wageni ndani yake,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu wa Mungu walikuwa wachache; hawakuwa maarufu, tena walikuwa wageni nchini Kanaani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipokuwa wachache kwa idadi, wachache sana na wageni ndani yake,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walipokuwa watu wawezao kuhesabiwa, Naam, watu wachache na wageni katika nchi,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu wa Mungu walikuwa wachache; hawakuwa maarufu, tena walikuwa wageni nchini Kanaani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vilikuwa hapo, walipokuwa kikundi cha watu wanaohesabika, maana kule walikuwa wachache tu, tena wageni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walipokuwa watu wawezao kuhesabiwa, Naam, watu wachache na wageni ndani yake,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wa Mungu walikuwa wachache tu, tena walikuwa wageni katika inchi ya Kanana.