Psalms 105:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye akatuma mtu mbele yao, Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hapo alikuwa amekwisha kujipatia mtu, awafungulie njia, ni Yosefu aliyekuwa ameuzwa kuwa mtumwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini aliwatangulizia mutu mumoja, Yosefu aliyekuwa ameuzishwa kuwa mutumwa.