Psalms 105:34 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu akanena, kukazuka nzige, na panzi maelfu yasiyohesabika;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alisema, nzige wakaja, tunutu wasio na idadi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Alisema, kukaja nzige, Na tunutu wasiohesabika;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu akanena, kukazuka nzige, na panzi maelfu yasiyohesabika;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alisema, nzige wakaja, tunutu wasio na idadi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alisema, nzige wakaja, tunutu wasio na idadi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Alisema, kukaja nzige, Na tunutu wasiohesabika;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu akanena, kukazuka nzige, na panzi maelfu yasiyohesabika;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nzige wakaja papo hapo, aliposema, pamoja na funutu wasiohesabika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Alisema, kukaja nzige, Na tunutu wasiohesabika;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu akaamuru, kukatokea nzige, na mapanzi maelfu yasiyohesabiwa;