Psalms 105:40 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliomba naye akawaletea kware, akawapa mkate kutoka mbinguni kwa wingi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waliomba, naye akawaletea kware, akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walipotaka akaleta kware, Akawashibisha chakula cha mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliomba naye akawaletea kware, akawapa mkate kutoka mbinguni kwa wingi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waliomba, naye akawaletea kware, akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waliomba, naye akawaletea kware, akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walimwomba naye akaleta kware, Na kuwashibisha chakula cha mbinguni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliomba naye akawaletea kware, akawapa mkate kutoka mbinguni kwa wingi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipomwomba, akaleta tombo, hata mikate alitoa mbinguni, akawashibisha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walipotaka akaleta kware, Akawashibisha chakula cha mbinguni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waliomba, naye akawaletea kwale, akawapa mukate kutoka mbinguni kwa wingi.