Psalms 106:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maji ya bahari yaliwafunika maadui zao; wala hakusalia hata mmoja wao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maji yakawafunika watesi wao, Hakusalia hata mmoja wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maji ya bahari yaliwafunika maadui zao; wala hakusalia hata mmoja wao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maji yakawafunika watesi wao, Hakusalia hata mmoja wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maji ya bahari yaliwafunika maadui zao; wala hakusalia hata mmoja wao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maji yakawafunika wao waliowasonga, kwao hakusalia hata mmoja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maji yakawafunika watesi wao, Hakusalia hata mmoja wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maji ya bahari yaliwafunika waadui zao; wala hapakubakia hata mumoja wao.