Psalms 106:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye akawapa kile walichoomba, lakini akapeleka maradhi mabaya kati yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawapa walichomtaka, Akawakondesha roho zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye akawapa kile walichoomba, lakini akapeleka maradhi mabaya kati yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba, lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawapa walichomwomba, Lakini akawatumia ugonjwa wa kuwakondesha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye akawapa kile walichoomba, lakini akapeleka maradhi mabaya kati yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawapa waliyomwomba, akayafurikisha, mpaka yakizichafua roho zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawapa walichomtaka, Akawakondesha roho zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye akawapa kile walichoomba, lakini akaleta magonjwa makali kati yao.