Psalms 106:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jambo hilo lakumbukwa kwa heshima yake, tangu wakati huo na nyakati zote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akahesabiwa kuwa ana haki Kizazi baada ya kizazi hata milele.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jambo hilo lakumbukwa kwa heshima yake, tangu wakati huo na nyakati zote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hili likahesabiwa kwake haki, kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akahesabiwa kuwa ana haki Kizazi baada ya kizazi hata milele.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jambo hilo lakumbukwa kwa heshima yake, tangu wakati huo na nyakati zote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hivyo aliwaziwa kuwa mwenye wongofu kwa vizazi na vizazi kale na kale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akahesabiwa kuwa ana haki Kizazi baada ya kizazi hata milele.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Jambo hilo linakumbukwa kwa heshima yake, tangu wakati huo na nyakati zote.