Psalms 106:36 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliabudu sanamu za miungu yao, nazo zikawa mtego wa kuwaangamiza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliabudu sanamu za miungu yao, nazo zikawa mtego wa kuwaangamiza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waliabudu sanamu zao, zikawa mtego kwao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliabudu sanamu za miungu yao, nazo zikawa mtego wa kuwaangamiza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Navyo vinyago vyao wakavitumikia, navyo ndivyo vilivyowanasa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waliabudu sanamu za miungu yao, nazo zikakuwa mutego wa kuwaangamiza.