Psalms 106:37 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliwaua watoto wao wa kiume na wa kike, wakawatoa tambiko kwa pepo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakawatoa wana wao na binti zao dhabihu kwa mashetani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naam, walitoa wana wao na binti zao Kuwa dhabihu kwa mashetani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliwaua watoto wao wa kiume na wa kike, wakawatoa tambiko kwa pepo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakawatoa wana wao na binti zao dhabihu kwa mashetani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakawatoa wana wao na binti zao dhabihu kwa mashetani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naam, walitoa wana wao na binti zao Kuwa dhabihu kwa mashetani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliwaua watoto wao wa kiume na wa kike, wakawatoa tambiko kwa pepo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wana wao wa kiume nao wa kike wakawatoa kuwa ng'ombe za tambiko za mizimu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naam, walitoa wana wao na binti zao Kuwa dhabihu kwa mashetani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waliua watoto wao wanaume na wabinti, wakawatoa sadaka kwa mapepo.