Psalms 106:39 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo wakafanywa najisi kwa matendo yao, 2wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazinzi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndivyo walivyotiwa uchafu kwa kazi zao, Wakafanya uasherati kwa matendo yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo wakafanywa najisi kwa matendo yao, wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazinzi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda; kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndivyo walivyotiwa uchafu kwa kazi zao, Wakafanya uasherati kwa matendo yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo wakafanywa najisi kwa matendo yao, wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazinzi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hata wenyewe walijichafua kwa hayo matendo yao, kwa kuzifanya hizo kazi zao wakawa wagoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndivyo walivyotiwa uchafu kwa kazi zao, Wakafanya uasherati kwa matendo yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivyo wakajichafua kwa matendo yao, wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazini.