Psalms 106:42 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maadui zao waliwakandamiza, wakawatumikisha kwa nguvu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Adui zao wakawadhulumu na kuwatia chini ya mkono wao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Adui zao wakawaonea, Wakatiishwa chini ya mkono wao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maadui zao waliwakandamiza, wakawatumikisha kwa nguvu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Adui zao wakawaonea na kuwatia chini ya mamlaka yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Adui zao wakawaonea na kuwatia chini ya mamlaka yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Adui zao wakawaonea, Wakatiishwa chini ya mkono wao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maadui zao waliwakandamiza, wakawatumikisha kwa nguvu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Adui zao wakawatesa, wakashurutishwa kuiinamia mikono yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Adui zao wakawaonea, Wakatiishwa chini ya mkono wao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waadui zao waliwagandamiza, wakawatumikisha kwa nguvu.