Psalms 106:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata hivyo Mungu aliwaokoa kama alivyoahidi, ili aoneshe nguvu yake kuu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake, ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini akawaokoa kwa ajili ya jina lake, Ayadhihirishe matendo yake makuu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata hivyo Mungu aliwaokoa kama alivyoahidi, ili aoneshe nguvu yake kuu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake, ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake, ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini akawaokoa kwa ajili ya jina lake, Ayadhihirishe matendo yake makuu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata hivyo Mungu aliwaokoa kama alivyoahidi, ili aoneshe nguvu yake kuu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini kwa ajili ya Jina lake aliwaokoa, awajulishe uweze wake wenye nguvu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini akawaokoa kwa ajili ya jina lake, Ayadhihirishe matendo yake makuu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hata hivyo Mungu aliwaokoa kama alivyoahidi, kusudi aonyeshe nguvu yake kubwa.