Psalms 107:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliwatoa katika giza na ukiwa, na minyororo yao akaivunjavunja.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawatoa katika giza na huzuni kuu na akavunja minyororo yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Aliwatoa katika giza na uvuli wa mauti, Akayavunja mafungo yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliwatoa katika giza na ukiwa, na minyororo yao akaivunjavunja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawatoa katika giza na huzuni kuu na akavunja minyororo yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawatoa katika giza na huzuni kuu na akavunja minyororo yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Aliwatoa katika giza na uvuli wa mauti, Akaivunja minyororo yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliwatoa katika giza na ukiwa, na minyororo yao akaivunjavunja.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawatoa gizani mwenye kufa, yale mafungo yao nayo akayavunja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Aliwatoa katika giza na uvuli wa mauti, Akayavunja mafungo yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aliwatoa katika giza na ukiwa, na minyororo yao akaivunjavunja.