Psalms 107:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye huvunja na kufungua milango ya shaba, na kukatakata fito za chuma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana ameivunja milango ya shaba, Ameyakata mapingo ya chuma.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye huvunja na kufungua milango ya shaba, na kukatakata fito za chuma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana ameivunja milango ya shaba, Ameyakata mapingo ya chuma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye huvunja na kufungua milango ya shaba, na kukatakata fito za chuma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani milango ya shaba anaivunja, nayo makomeo ya chuma anayakata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana ameivunja milango ya shaba, Ameyakata mapingo ya chuma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yeye anavunja na kufungua milango ya shaba, na kukatakata vifungio vya chuma.