Psalms 107:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baadhi walipumbaa kwa sababu ya dhambi zao, waliteseka kwa sababu ya uovu wao;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baadhi walipumbaa kwa sababu ya dhambi zao, waliteseka kwa sababu ya uovu wao;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wengine wakawa wajinga kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baadhi walipumbaa kwa sababu ya dhambi zao, waliteseka kwa sababu ya uovu wao;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wako wengine waliopumbazwa na kuumizwa kwa ajili ya njia zao zenye mapotovu na kwa ajili ya kukora manza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wengine walipumbazika kwa sababu ya zambi zao, waliteseka kwa sababu ya uovu wao;