Psalms 107:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
chakula kikawa kinyaa kwao, wakawa nusura wafe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nafsi zao zachukia kila namna ya chakula, Wameyakaribia malango ya mauti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
chakula kikawa kinyaa kwao, wakawa nusura wafe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nafsi zao zachukia kila namna ya chakula, Wameyakaribia malango ya mauti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
chakula kikawa kinyaa kwao, wakawa nusura wafe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vilaji vyote vikazichafua roho zao, mwisho wakajifikisha huko, malango ya kifo yaliko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nafsi zao zachukia kila namna ya chakula, Wameyakaribia malango ya mauti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
walichukizwa na chakula, walikuwa karibu kufa.