Psalms 107:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtukuzeni katika kusanyiko la watu, na kumsifu katika baraza la wazee.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza ya wazee.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtukuzeni katika kusanyiko la watu, na kumsifu katika baraza la wazee.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza la wazee.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtukuzeni katika kusanyiko la watu, na kumsifu katika baraza la wazee.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Na wamtukuze kwenye mikutano ya watu walio wa ukoo wetu! Nako kwenye mashauri ya wazee na wamshangilie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza ya wazee.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumutukuze katika mukutano wa watu, na kumusifu katika baraza la wazee.